Ngoja nikuiitie wanafunzi wangu wakufudishe adabu nijise Master kucheza na mlevi nikalaumiwa kufanya uonevu maana umekuja kwenye uzi huu bila ya adabu wakati Master nipo.
Mimi bora nifungwe na mtu wa mitaani ila inapokuja mwana Jf nafia uwanjani kutetea Umaster wangu.