Nahitaji msaada jinsi ya kulicheza .maana niko level 1 ila sasa nafungwa sana mpaka napata hasira ,wachezaji hawakabi kila kona goli ....nakuwa wa 6 au 13 mwishoni
Nahitaji msaada jinsi ya kulicheza .maana niko level 1 ila sasa nafungwa sana mpaka napata hasira ,wachezaji hawakabi kila kona goli ....nakuwa wa 6 au 13 mwishoni
Nahitaji msaada jinsi ya kulicheza .maana niko level 1 ila sasa nafungwa sana mpaka napata hasira ,wachezaji hawakabi kila kona goli ....nakuwa wa 6 au 13 mwishoni
Inabid uingie sokon kusajili.. pia jitaid kama unaanza uchague kapten ambaye ni straika akusaidie kufunga...
Pia huwa kuna season awards ipo juu ni ya siku tisa ukikamilisha yote unapata Agent ambayo unapewa mchezaji wa blue (uwezo wake 70 to 79)anasaidia kuongeza nguvu kikosini...