Inahitaji kujitoa ufahahamu kiasi ili uende sawa baadhi vituo vya hbr nchini.
Kwa mtu makini kbs hawezi kufatilia jambo lolote kupitia kituo cha hao jamaa.
Kumejaa watangazaji mambulula na bendela fata upepo kuanzia redio mpk tv.
Watawapata haohao waendesha bodaboda na makondacta!!!