Dr. Bana yupo Clouds Tv live

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Msikilizeni huyu mzee anavyopotosha wajukuu zake.
 
nipo eatv siasa za siasa namuona kafulila
 
Wamuulize km Magufuli hakupima ktk tatu bora upande wa upinzani na ktk ccm ktk tafiti za REDET ..Anasema kuhusu ubora wa uchaguzi wa CCM na Km magufuli atashoot leo.
 
Inahitaji kujitoa ufahahamu kiasi ili uende sawa baadhi vituo vya hbr nchini.

Kwa mtu makini kbs hawezi kufatilia jambo lolote kupitia kituo cha hao jamaa.
Kumejaa watangazaji mambulula na bendela fata upepo kuanzia redio mpk tv.

Watawapata haohao waendesha bodaboda na makondacta!!!
 
Wamuulize km Magufuli hakupima ktk tatu bora upande wa upinzani na ktk ccm ktk tafiti za REDET ..Anasema kuhusu ubora wa uchaguzi wa CCM na Km magufuli atashoot leo.

Nami nachelea kusema tafiti za bongo ni kwa ajili ya kupiga hela tu kwani hazisadifu uhalisia hata kidogo.
 

Mkuu mimi huwa nawashangaa watu wanaofungulia hivyo vituo vya mawingu
 

mh.unawakosea makondacta,kwanza sio wavivu wa kufikiri kama Hawa jamaa...Ebu waombe radhi kama Kuna uwezekano!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…