DP iungane na CHADEMA


Lakini msisahau siasa ni itikadi na mrengo. Mtikila ana sera za kihafidhina [Tanganyika] CDM iko moderate maana ina support muungano, pili, si lazima wote tukae zizi moja kwani ukombozi uko njia nyingi kuna wanaharakati, wasomi, majukwaa ya wahariri, n.k. Cdm inaongoza mbio hizo ila angalizo si lazima wote waingie humo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…