Dovillen property...Tunauza plot nzr salasa

dovillenproperty

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2014
Posts
3,203
Reaction score
2,227
Plot ipo salasala kinzudi ina ukubwa wa 40 kwa 30

Bei 16.5m
Bei inamaongezi kidogo

Mawasiliano na kuja kuona 0756060183


 
Hiyo 30*40 ni mita au futi ? Plot ina hati ? Ufafanuzi tafadhari
Ni Mita mkuu..hati bado, maeneo ya kinzudi huwa hati kila mtu anafuatilia mwenyewe ila hatua za awali zimeshafanyika
 
Ni Mita mkuu..hati bado, maeneo ya kinzudi huwa hati kila mtu anafuatilia mwenyewe ila hatua za awali zimeshafanyika
Tshs 16,500,000/(Mita 40 x Mita 30)
=Tshs 16,500,000/Sqm 1,200
=Tshs 13,750/1sqm

Kwenye ule mto/bonde kule mbele kuna umbali gani hadi kwenye Kiwanja??
 
Tshs 16,500,000/(Mita 40 x Mita 30)
=Tshs 16,500,000/Sqm 1,200
=Tshs 13,750/1sqm

Kwenye ule mto/bonde kule mbele kuna umbali gani hadi kwenye Kiwanja??
Kwa ufafanuzi huu bado kiwanja hiki tunakiuza bei rahisi, maana maeneo hayo bei elekezi ni 30,000/= par sqm

Mto uko mbali sana kuna umbali kama mita 150 na mbele kuna nyumba nyingine zaidi
 
Kwa ufafanuzi huu bado kiwanja hiki tunakiuza bei rahisi, maana maeneo hayo bei elekezi ni 30,000/= par sqm

Mto uko mbali sana kuna umbali kama mita 150 na mbele kuna nyumba nyingine zaidi
Yeah,
Reasonable, but kwa zama hizi ni bei ya kawaida
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…