Dorothy Gwajima, Paul Makonda na Jumaa Aweso majina yao ni miongoni mwa wanaoweza kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu

Makonda for prime minister? U can't be serious πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Taifa liko kwenye majonzi wewe unawaza jinsi wanasiasa watakavyoneemeka kwenye teuzi. Hili taifa lina mijitu misenge sana
 
Makonda akiwa waziri mkuu nahama Tanzania Mapema January mwakani..

Fikiria Samiu,jumlisha bashite awe waziri mkuu,tutakua na nini ?A clown republic???
Form 4 failures ndio waongoze utendaji wa serikali, si balaa hili
 
Taifa linahitaji uponyaji na sii kejeli,dharau wala upotoshaji ama uchawa unaolitafuna taifa.Hivyo kama taifa tunapitia kipindi kinacho hitaji kila aliyelala na kuona,hahusiki na hili taifa anahitaji kuhakikisha anapoweza kuwa macho kwa manufaa ya taifa hili!
 
Hahahaha Ila watanzania bhn sasa Dorothy Gwajima ni mbunge wa kuchaguliwa wa jimbo gani? Kiranga
Watanzania wengi hawaijui katiba yao.

Wengine wanadai katiba mpya wakati hii ya sasa hawaijui.

Juzi nilikuwa sehemu nafafanua kitu kwa kusoma katiba, kile kitendo cha mimi kusoma katiba tu kiliwafanya watu waniite "wakili msomi" wakati mimi wala si wakili.

Katika akili zao, mtu yeyote anayefafanua mambo kwa kusoma katiba lazima anakuwa "wakili msomi" tu.
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Haya yafaa Nini wakati huu, taifa lipo kwenye msiba mzito
 
Hiv wabunge wa upinzani, hususan Chauma ni wangapi?
Au kutakuwa na kuteuliwa kuongeza idadi ili kuupata mchezo covid19
 
Hatuitambui hii serikali, nani kawachagua mbwa hawa?
 
Aweso huyu maji hayatoki wiki 2 majukwaani anasema maji yapo ya kumwaga
 
Ni kujipakaza mavi mwili mzima baada ya kujisaidia kisha unavaa suti ukitegemea inzi hawatakufuata.
 
Pumbavu sana mtoa mada. Nyinyi ndiyo mnafanya nchi yetu idharauriwe kwa umbumbumbu huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…