Don't miss it,

Going Concern

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
1,071
Reaction score
1,213
Siunajua wasanii wa bongo mbwembwe zao wakipanda jukuani? Akaanza wa kwanza
Mr.blue: oyoooh, blue hapa, akaimba kisha akashuka
Fid Q: ni fid q hapa, ngosha the don
Juma nature: ni juma nature hapa, mtoto wa kiumeni,
akapanda msanii mpya toka mkoa flan hivi, jina lake anaitwa KINYA ilikua ivi,
KINYA: Oyoo Dar es salaam niKINYA hapa,
watazamaji sasa: acha usenge, ukinya unazoa,
 
Big Up, lakini hii nilimsikia Uncle wangu wa std3 kitambo kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…