Aliwakilishwa na familia yake pamoja na meneja wake mkubwa fellah, na unajua mambo ya mkataba kwa mfano shoo ya Zanzibar yeye ndo alihusika kupafom mwanzo mwisho na tiketi zilishauzwa na watu tayari wako kwa ukumbi ukishindwa kutokea maana yake utatakiwa kurudisha ghalama zote zilizotumika na faini juu si chini ya tsh. 500m.