SoNotorious
JF-Expert Member
- Sep 11, 2011
- 2,422
- 859
Unaongelea nani! Kessy? achana na huyo takataka mnafiq mkubwa. Ameshindwa hata kuvipigia kura ya HAPANA Sura ya 1 na 6 inayopendekeza muundo wa S2, wakati yeye ni "muumini" wa S3
Halafu leo huyo Yuda Isikarioti ndio unamuona ni role mode wako!
Asante KIMBEMBE. Kandinsky zirekebishwe ili kupendelea haja zenu? Si walisharekebisha Mara nyingi tu na kill mara zinagoma? Msirekebishe tena kwanini maana kila rekebisho limegoma. Sasa zitupeni Kabisa hiyo kanuni labda ndipo ulaghai wenu utafanikiwa.
Oooooh na kapicha na kapicha hako sasa!
Haya mtuthibitishie hiyo ndo hati ya Six kwa wanaoijuwa?
Kumbe jamaa naye mwadiko alifeli eeeh!
kazi pevu
hayo ndio matunda ya kiburi na ubabe hata wakichakachua na kusema 2/3 ya zanzibar imepatikana tayari umma umefumbuka macho juu ya ghiliba wanazotendewa na watawala wa ccm
UNAMUUNGA MKONO MTU ASIEJIELEWA??? Huyu km kweli anawaona wazenji Mzigo angepiga HAPANA.....Linapokuja suala la Wa-zanzibar, mimi huwa namuunga mkono mhe.Kessi
..........................
Kamati ya Maridhiano nayo ikagomewa.Wazanzibari wamesema wao wameshasema HAPANA na hawatasema NDIYO kwa vyovyote vile. Mwenyekiti Sitta amearifiwa kuwa Kamati ya Maridhiano iliishia kusubiri bila wahusika kujitokeza.Vimesikika viapo vya kutorudi nyuma.Hapa Dodoma mambo ni moto.Kila mmoja anasema na kushauri lake. Njiapanda. Tutokaje?
Intelijensia inaonesha kuwa kura za HAPANA za wazi na siri zimeshakwamisha akidi ya kupitisha Rasimu iliyopendekezwa na Kamati ya Chenge. Ndiyo maana Kamati ya Maridhiano iliundwa haraka sana kusaka maidhiano ya kiakidi.Lakini,Wazanibar wameapa kulinda kura zao za HAPANA walizozipiga sirini na bayana. Njiapanda. Tuamue kuelekea wapi?
Tafadhalini Wazanzibari,tuokoleeni Rasimu hii ili,kama chama tawala,tupate cha kusema kwa watanzania.
Tutasemaje mambo yakibaki hivi yalivyo?
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam (kwasasa Dodoma kurudi Dar)
vp na wewe afya mkuu leo. pressure haijapanda? naona katiba imepitishwa!pole mkuu hiyo ndiyo inaitwa BP plus Kisukari. Inauma sana we muulize tu mzee wa kiraracha atakuambia anavyopata maumivu dhidi ya Mbatia