Tija ya hizi ziara ni chache sana kwa nchi
Nadhani target ni personal tija kwa 2030 na si kwa Taifa kwa current timings.
It is way far misuse of resources waziri mkuu kuzunguka na ma V8 au hiyo ndege ya serekali fokker 50 kuongea na wananchi wanaolalamika petty issues ambazo zilitakiwa ziwe zimeshakuwa solved na makatibu tarafa na watendaji au maximum DC's siku nyingi nyuma
Na ingekuwa na maana kama mwananchi akiinuka kutoa malalamiko yake PM asiseme waone wasaidizi wangu, anatakiwa amuulize respective kiongozi na kama hana majibu amuwajibishe