H hali mbaya Member Joined Jan 7, 2014 Posts 79 Reaction score 22 Oct 2, 2015 #1 Mi ni mmoja kati ya tulioomba admission chuo cha DIT kupitia TCU lakini mpaka sasa hakuna majina yaliyotolewa. Vyuo vingine vimeshatoa UDOM, UDSM, etc. DIT kunani?
Mi ni mmoja kati ya tulioomba admission chuo cha DIT kupitia TCU lakini mpaka sasa hakuna majina yaliyotolewa. Vyuo vingine vimeshatoa UDOM, UDSM, etc. DIT kunani?
B BUKURUUU Member Joined Jun 8, 2015 Posts 62 Reaction score 24 Oct 2, 2015 #2 Watatoa tu soon huwa wanachelewa dit
A Ayugo Member Joined May 29, 2013 Posts 57 Reaction score 3 Oct 3, 2015 #3 kijana kuwa mpole...soon watatoa majina
LILONGO JF-Expert Member Joined Jan 22, 2012 Posts 520 Reaction score 321 Oct 3, 2015 #4 Wanasuburia NACTE
sigachuma JF-Expert Member Joined Jun 8, 2011 Posts 233 Reaction score 29 Oct 3, 2015 #5 Kuna tetesi kuwa majina soon yatakuwa hewani. Kwani mechanical Eng. Washabandika majina yao pale chuon. Ila hali ni tete kwa kweli
Kuna tetesi kuwa majina soon yatakuwa hewani. Kwani mechanical Eng. Washabandika majina yao pale chuon. Ila hali ni tete kwa kweli
W w24 Senior Member Joined Sep 11, 2014 Posts 166 Reaction score 64 Oct 3, 2015 #6 sigachuma said: Kuna tetesi kuwa majina soon yatakuwa hewani. Kwani mechanical Eng. Washabandika majina yao pale chuon. Ila hali ni tete kwa kweli Click to expand... Vipi adi hawa waliojaza sec round?
sigachuma said: Kuna tetesi kuwa majina soon yatakuwa hewani. Kwani mechanical Eng. Washabandika majina yao pale chuon. Ila hali ni tete kwa kweli Click to expand... Vipi adi hawa waliojaza sec round?
Yasin21 JF-Expert Member Joined Jul 15, 2015 Posts 667 Reaction score 404 Oct 3, 2015 #7 sigachuma said: Kuna tetesi kuwa majina soon yatakuwa hewani. Kwani mechanical Eng. Washabandika majina yao pale chuon. Ila hali ni tete kwa kweli Click to expand... Hali ni tete kivipi mkuu?
sigachuma said: Kuna tetesi kuwa majina soon yatakuwa hewani. Kwani mechanical Eng. Washabandika majina yao pale chuon. Ila hali ni tete kwa kweli Click to expand... Hali ni tete kivipi mkuu?
young mdogoo Senior Member Joined Oct 9, 2014 Posts 120 Reaction score 21 Oct 3, 2015 #8 w24 said: Vipi adi hawa waliojaza sec round? Click to expand... Kwa ninavyokumbuka Kwa wa TCU DIT haikuwepo 2nd round, au unazungumzia dplm nn mkuu.....??
w24 said: Vipi adi hawa waliojaza sec round? Click to expand... Kwa ninavyokumbuka Kwa wa TCU DIT haikuwepo 2nd round, au unazungumzia dplm nn mkuu.....??