Tauc George
Member
- Nov 3, 2017
- 34
- 14
1. USAJILI unaanzaga June/July mpaka October
2 Vyuo vingi wanafanya online ila inategemea na chuo husikaa
3. MUHULA WA MASOMO unaanzaga October mpka November
Boss taus vipi kwanzaa
Hii diploma in primary ndo nn
Unamanisha diploma In primary education au??
Mbona unakua kama yule kaka ako [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Inaitwaje sasa mama[emoji2][emoji2][emoji2]Ipo Kaka....Hii Kozi Ipo Kabisa....
Inaitwaje sasa mama
Primary ndo nn sasa??Diploma In Primary....Miaka Miwili...Sifa Division 3/Kama Una Cheti Cha Ualimu
Primary ndo nn sasa??
Ina fursa kubwa sana hii kozi,Tofauti na zile za bissness ama uhasibu
Ina fursa kubwa sana hii kozi,Tofauti na zile za bissness ama uhasibu
Ajira zake zipo nyingi sana mitaani tofauti na wale wa uhasibu,Nenda kasome utaona uzuri wakeKweli eeh??Unaweza Taja Baadhi??
Diploma in prmary duuh au mimi ndio sijaelewa?Habari wapendwa....naomba kufahamishwa kozi tajwa hapo juu katika vipengele vifuatavyo:
1:Usajili huwa ni muda gani?
2:Usajili huo huwa upoje?(online/kujaza fomu)
3:Muhula wa masomo huanza lini(mwezi gani)
Ahsanteni.
[emoji3][emoji3][emoji3] mm mwenyewe sielewi.Diploma in prmary duuh au mimi ndio sijaelewa?
Kabla sijaingia mtandaoni napenda kujua Primary ni nini na iyo Diploma in primary inahusu niniDoh[emoji1504]...Ingia Hata Mitandaoni...
Kabla sijaingia mtandaoni napenda kujua Primary ni nini na iyo Diploma in primary inahusu nini
Kwa hyo iyo diploma in primary inahusu nini?Nowdays hamna zile kozi za ualimu wa cheti kama awali ambapo ilichukuliwa mpaka div 4,now ni div 3 au uwe na hicho cheti cha ualimu....
Kwa hyo iyo diploma in primary inahusu nini?
Kama ni me mpekele usekretali tu,ama ushonajiKweli eeh??Unaweza Taja Baadhi??