Ibrahim300
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 391
- 69
Tuzo hizo zinatarajiwa kusindikizwa na vicheko vya mara kwa mara kwa kuwa mshereheshaji wa shughuli hiyo ni mchekeshaji maarufu wa kimataifa, The Basket Mouth na atakuwa na muigizaji mrembo wa Nollywood, Juliet Ibrahim.
Stori: bkuHABARI
Natumai Diamond atatuchekesha na sisi kama vile Nigeria alipovalia kile kisuruali chake
hongera sana diamond...
itumie fursa hii kukutana na kufanya kazi za muziki na magwiji kama jay z, beyonce, r kelly, akon, lil wayne, ronaldinho gaucho, rihanna, eminem, lady gaga, excel, maino, justin bieber, neymar, katy perry, j. cole, rooney na drogba.
ila usijiunge na freemason!!
:A S 13:
hao ni magwiji wa muziki?
hahahaaaaa!!!! mkuu rudi juu kaangali upya!
kuna wengine umesahahu!
soo tricky!
may be anacomment huku anakula mapupa
Natumai Diamond atatuchekesha na sisi kama vile Nigeria alipovalia kile kisuruali chake
Be positive meeen , roho mbaya itakutoa nyongo uzeeke haraka
Tukubaliane kutokukubaliana inatoooosha
hongera sana diamond...
itumie fursa hii kukutana na kufanya kazi za muziki na magwiji kama jay z, beyonce, r kelly, akon, lil wayne, ronaldinho gaucho, rihanna, eminem, lady gaga, excel, maino, justin bieber, neymar, katy perry, j. cole, rooney na drogba.
ila usijiunge na freemason!!
:A S 13:
ha ha ha ha tisha mkuu.