wamemsema kuwa yuko kwenye kashfa ya "sembe" angefanya kimya kimya, baraka za mzee Gurumo zingefika tu sio lazima magazeti, sasa watazidi kumuandama, tena ukizingatia hiyo ufunguzi kafanya event yote kwa gharama zake..... ila its good kamkumbuka mzee wa watu kuliko sisi wengine tunatoa sifa za mdomo tu.