Dhuluma ndiyo inayofanya uasi katika nchi. Serikali kutuibia pesa zetu kupitia TANESCO inauma sana

nguruka wa kig0ma

JF-Expert Member
Jan 16, 2020
2,946
2,929
Leo nimekuwa nikinunua umeme toka asubuhi, nimekuwa sipati token eti hela haitoishi na kwamba pesa ninayonunulia umeme inalingana na ninayodaiwa.

Serikali imetudanganya kuwa itakatwa 1000 kila mwezi,nami ktk mwezi juu nimeshanunua umeme Mara mbili. Swali linakuja,inamaana hawakuwa wanakata.

Kama haitoshi,nilikuwa nanunua umeme wa 20000, INA maana nadaiwa 20000? Maana SMS inarudi kusema deni ninalodaiwa linalingana na deni.

Nimeuliza mtandao ninaotumia kuhusu deni, wanajibu siyo peke yangu ninayelalamikia hili ni wengi sana. Sasa nimeamini kumbe waarabu hujitoa mhanga kwa kuchoka kuzurumiwa na kakikundi ka wachache wanaojiona miungu watu.

Onyo
Serikali zuluma itafika mwisho
 
Kila nikinunua umeme ninakatwa pia sh 1000 eti ninalipia deni, deni ambalo silijui! Huu nj mwezi wa tatu mfululizo ninakatwa buku kwa deni hewa!! njoni hapa tanesco mgupe ufafanuzi !
 
Wananjaa Kali, Mwendazake aliziba mianya wanafidia.

Wakifanya hivyo kwa watu 10000 tu Kati ya 60m,wanavuna mamilioni bila jasho.
 
20211123_222209.jpg
 
Kila nikinunua umeme ninakatwa pia sh 1000 eti ninalipia deni, deni ambalo silijui! Huu nj mwezi wa tatu mfululizo ninakatwa buku kwa deni hewa!! njoni hapa tanesco mgupe ufafanuzi !
Muda mfupi baada ya kifo cha Magufuli mfumo wa malipo ya LUKU ulikumbwa na tatizo kwa siku kadhaa ikawa haufanyi kazi. Unafikiri ilikuwa hitilafu iliyotokea kwa bahati mbaya?!

Iliwahi kusemwa na Magufuli akiwa rais kuwa kwenye risiti za EFD kuna pesa ilikuwa inakwenda kwa watu badala ya kuingia kwenye mfuko wa serikali.

This is bongo!
 
Back
Top Bottom