Dery

Dery

Member
Joined
May 20, 2013
Posts
6
Reaction score
1
Jaman naomben kuuliza je unaweza kuflash simu bila kutumia box ukatumia pc na usb tu je ni progam gan inatumika? Na inapatikanaje nuatashukuru wadau kwa anaejua anitext inaitwaje 0785764488
 
Sawa bro me nataka nipate progam ambayo naweza kuinstall kwenye pc nikawa nafanyia hayo mambo naomba unielekeze
 
Za simu gani me ninazo zote.na ninapiga kazi muda wote.kuanzia android SPD.blackberry sony iphone.nokia na zaidi..nicheki whatspp 0754 60 45 67
 
Sawa bro me nataka nipate progam ambayo naweza kuinstall kwenye pc nikawa nafanyia hayo mambo naomba unielekeze
Wewe unataka kuflash simu gan?
 
Nicheki whatsapp tupatane ata ukiwa mkoani ukiweza nakuja na mzigo nakuelekeza na soft nakupapa gharama tu.ata samsung inawezekana.ila ukiwa box bora zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…