Denti akimwaga voko

IrDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2010
Posts
745
Reaction score
360
Hakika penzi langu kongwe kama fasihi simulizi,kwani nakupenda kama Ngoswe alivyo mpenda Mazoea,wala sina madem wengi kama Joti wa kilio chetu,nawe ucwe kama Furaha wa orodha,sintakutenga kama Takadini,coz cna dhiki kama watoto wa mama ntilie bali nitakupa maneno matamu kama Malenga wapya na nitakuliwaza kama mashairi ya Wasakatonge,napenda tuwe kama Kiima na Kiarifu,au fani na maudhui,penzi letu lidumu kama Fasihi Andishi,Vp upo tayari tufanye unyambulishaji na Uambishaji? Jamani nakupenda kama kumbikumbi wanavyopendana
 
Aise lazima anaepewa hiyo mistar awe arts kama alikua sayans hawez kumkubalia
 
............................. wapya na nitakuliwaza kama mashairi ya Wasakatonge,napenda tuwe kama Kiima na Kiarifu,au fani na maudhui,penzi letu lidumu kama Fasihi Andishi,Vp upo tayari tufanye unyambulishaji na Uambishaji? Jamani nakupenda kama kumbikumbi wanavyopendana......


Imetulia......
 
Ndio mana nikakuandikia BARUA NDEFU KAMA HII,sitaki nikuletee JANGA KUU LA WAZAWA,je utanipa ZAWADI YA USHINDI?
 
Mi ni genster i'll marry when i want coz the beautful ones are not yet born na sitaki kuleta bitrayal in the city!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…