............................. wapya na nitakuliwaza kama mashairi ya Wasakatonge,napenda tuwe kama Kiima na Kiarifu,au fani na maudhui,penzi letu lidumu kama Fasihi Andishi,Vp upo tayari tufanye unyambulishaji na Uambishaji? Jamani nakupenda kama kumbikumbi wanavyopendana......
Imetulia......