CPU za dell zipo zaidi ya hamsini zinauzwa lakini zipo zanzibar USED, zinafanya kazi. Hard disc 40. Ram 512. Bei ni laki moja kwa kila CPU. Pia zipo monitors kabila tofauti bei ni elfu 80 kwa moja. Kama upo interested piga namba hii 0772692224.
Samahani wakuu picha imekataa na kidogo nipo bize lakini model ni gx280 Tower . Unaweza hata ukaniPM kama uko interested lakini best option ni kupiga hiyo nambahapo juu. Asanteni