,kwani course content za baf,accountancy na bcom,bba ya account,. Zinautofauti gani,?ni majina tu hayo ambayo chuo inajiwekea ukifanya utafiti utakuta kidogo tu zinatofautiana labda ardhi ndo wameongeza unit na muccobs,lakn ukiingia deep kila .course ina purpose yake.mfano angalia bcom ya udsm na accountancy ya tia.hazna utofauti.hi logic nlipewa wizara ya fedha sabasaba trade fair.