Kuna baadhi ya vyakula ni muhim kuandaliwa nyumbani.
Msiooa mnapata tabu saaaana.
Mie supu ya pweza na aina yoyote ya supu hutengenezewa nyumbani na Wife.
Nje ya nyumbani nitakula vyakula vya kawaida,kama wali,nyama,maharage,mchicha nk.
Ila kwenye Pweza huwa sipatikani mitaaani,na ifahamike kwamba kuna namna ya uandaaji wa supu hii.