Ndiyo mkuu niliitumia yapata miaka mitano iliyopita. Maumivu niliyokuwa napata kipindi cha nyuma kabla ya hapo yalikuwa hayamithiriki. Tangu hapo yalifutika kabisa na ikitokea basi pengine ni kwajili ya uchovu utokanao na pilika za kutwa hiyo.
Mashuhuda wamo humu ambao pia iliwaletea matokeo chanya.
CC
kassimneema