Nasumbuliwa na kiuno kinakua kinakaza ata nikikaa nikija kuamka nikianza kutmbea naskia maumivu ! nikaenda kupima nika ambiwa nina uti ya 25 ndo first time kuugua uti nimepewa dawa ila naona akuna afadhali ya kupona kiuno kinakaza vile vile ! msaada wenu jaman mwenye kujua dawa nzur anisaidie