Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,682
kampuni yake yenyewe mishahara tabu!!Naona Mosha amekuwa 'Msajili wa Vyama ya sissa" wa kufuta vyama vingine
mosha
ushindi wako; ndes pesa wamezila pesa zake zimeisha kakimbia nduki alidhani siasa mchezo.
Biashara zake zimefifia ; hotel yake k/koo utadhani pagara
;
kaja mmiliki wa benki ya wachaga akiba commercial bank;
najua kura zote zake; moshi kinachoongea ni pesa; na solution ya pesa mosha
Labda ndani ukiingia ni ya kisasaWatanzania bwana...
Kwa hiyo hiyo hapo pichani ndio ofisi ya kisasa kabisa...
Hahaha yaani siku zote omba Mungu asikunyime maarifa/akili...
Kiongozi siku hizi unasoma chuo gani? Michango yako imekaa ki professor!
Devis utajuta kuja moshi mjini, umewashinda mwenzio kwa ujanja sasa tukutane Oct 25 tukuonyeshe kazi
Alipiga chakachuzi gani pale akamsginda Boisafi?
Au aliwahonga wajumbe[/QUO. Haha haa aseme alipataje wa kumpigia kura wakati wengine SIO mwanachama wa ccm!ni hivi mbinu zake hazitamsaidia Oct 25