Msikilize vizuri Ndii, haumii maneno anayosema? feasibility study, funderiser, construction and now operational under contractor and you pay for it and now you have already paid 8B KSH my God. Huoni uchungu!!!! unashangilia ujinga? Mwacheni Magufuli aitwe Magufuli maana aliwakataa hawa jamaa Kwa haraka sana na hata bandari ya Bagamoyo walitaka kufanya hivyo hivyo?
Achana na siasa sikiliza vyombo vyenu vya habari na muwe na uzalendo sio wa kikenya bali wa Africa. Mimi ni Mtanzania inaniuma sana jinsi wachina wanakula hiyo pesa yetu. Mama zetu wanahangaika na kuinua maisha yao lakin kumbe kuna viongozi washenzi wanafanya wengine tukalipe gharama za watu wengine. Kila mwafrika asikitika kwa hili
Tutakutana huko mbele kwa mbele sijui tutakutana Uganda au kwa kagame lakini lazima tukutane ila wakati huo itakuwa tunashindana nani takaye safirisha kwa bei nafuu zaidi.Sisklizi Ndii wala vyombo vyovyote vya propaganda, sisklizi Watanzania wanaoumia, mimi nia yangu ni maombi yangu ni kitu kifike kwa Kagamae na Sudani, mengine hayo yote kitaeleweka siku za usoni kwa njia moja au nyingine. Nyie mnakeshea SGR ya Kenya wakati ya kwenu hata haijulikani kama ipo hai au kuna chochote kinaendelea, mhangaike na yenu kwanza, tulishakamilisha kilomita 500, sasa tupo kwenye safu ya pili ambayo asilimia 70% tayari.
Hivi basi Thika Road, Outering, Bypasses zote nchini zilizokamilika kitambo ni za waChina? WaChina wamebaki nazo?Tutakutana huko mbele kwa mbele sijui tutakutana Uganda au kwa kagame lakini lazima tukutane ila wakati huo itakuwa tunashindana nani takaye safirisha kwa bei nafuu zaidi.
Kwa sasa huwezi kuona chochote kinachoendelea lakini tutafika tu chakula kiko jikoni baba, sisi hatuwezi kushindana na watu wanaoongeaa saaana bali tunafanya kitu chenye tija kwenye uchumi.
Ya kwenu inaweza kufika hata cairo lakini mmiliki na faida ni mchina mtabaki mkisema tuna reli lakini si yenu na umaskini utaendelea kuongezeka.
Wakenya bana wazoe kushinda kwa mambo ya ukabila tuuuuu bila hoja. hapa hatubishani baba tunajenga hoja na Ndii ameongea scientifically na economically huyo ndio mkenya Halisi maana anaongea ukweli
Let the trade war continue
Tutakutana huko mbele kwa mbele sijui tutakutana Uganda au kwa kagame lakini lazima tukutane ila wakati huo itakuwa tunashindana nani takaye safirisha kwa bei nafuu zaidi.
Kwa sasa huwezi kuona chochote kinachoendelea lakini tutafika tu chakula kiko jikoni baba, sisi hatuwezi kushindana na watu wanaoongeaa saaana bali tunafanya kitu chenye tija kwenye uchumi.
Ya kwenu inaweza kufika hata cairo lakini mmiliki na faida ni mchina mtabaki mkisema tuna reli lakini si yenu na umaskini utaendelea kuongezeka.
Wakenya bana wazoe kushinda kwa mambo ya ukabila tuuuuu bila hoja. hapa hatubishani baba tunajenga hoja na Ndii ameongea scientifically na economically huyo ndio mkenya Halisi maana anaongea ukweli
Let me remind you parliament has no any other source of revenue than tax payers money. I can't imagine your actually trying to justify wasteful of public funds. Just give JPM that kind of budget and see the The Miracle Of Moses.Parliament has its own recurrent budget. MPs did not dip their hands into the development budget to go to Russia.
And if I might interest you, government's are designed to exist forever. There is no one time that you will ever say that we've paid all loans.
You might finish paying one creditor, but another comes along.. forever.
Sometimes you take another loan to pay for a previous one, if the interest rate is favourable.
eg. if you took a loan at 10% from Bank A, then Bank B offers you a loan at 3% interest, you take a loan from B and pay off A, and then you end up servicing the smaller interest.
You will need to comprehend big economics to understand this concept.
Taking new loans to pay off debt is sometimes done for cost saving purposes... something your feeble mind will not understand.
Hapa unatunia nguvu ya mikono badala ya nguvu ya akili, Kagame na Sudan wanabiashara ya kusaidia kulipa hiyo reli? Kinachojulikana mpaka sasa, hiyo reli ni mali ya Mchina na imejengwa kurahisisha biashara za mchina. Kwa kifupu Kagame hataki kuanza kujaziwa mitumba ya kichina kama ilivyo ya kimarekani.Sisklizi Ndii wala vyombo vyovyote vya propaganda, sisklizi Watanzania wanaoumia, mimi nia yangu ni maombi yangu ni kitu kifike kwa Kagamae na Sudani, mengine hayo yote kitaeleweka siku za usoni kwa njia moja au nyingine. Nyie mnakeshea SGR ya Kenya wakati ya kwenu hata haijulikani kama ipo hai au kuna chochote kinaendelea, mhangaike na yenu kwanza, tulishakamilisha kilomita 500, sasa tupo kwenye safu ya pili ambayo asilimia 70% tayari.
Haya maneno ya kanga sasa. Mtu mzima vipi jua limekuwa kali huko?Sasa kama tupo mbioni mbona usihangaike na unavyokimbia wewe, mbona uumize kichwa na ninavyokimbia, kila mtu anahangaika na ya kwake, sisi tumekamilisha 500 km, safu ya pili 70% hivyo makelele yenu ooohh mara Mchina oooh mara makinikia mara nini wala hayatuumizi akili, kila mtu na riziki yake, waulize wauza kahawa au karanga wa wa kariokoo, kila mtu huamka na kuanza mishe akiwaza kinachomhusu, nyie mnakesha mkiwaza SGR yetu, kila siku inawapa tabu sana, komaeni na shida zenu huko kwanza nyie ni maskini wa kutupwa kwenye level ya LDC hamjafikia hadhi ya kujadili na sisi chochote.
Size yetu akina Nigeria na Afrika Kusini, hao ndio watuseme sio nyie ambao kutwa tunahangaika tkiumiza akili tufanye nini hawa omba omba wenu mumewajaza kwenye pembezoni mwa barabara zetu.
Napata raha sana reli yetu inavyowapa tabu, mbele kwa mbele I wish ningekua rais wa hii nchi ndio mngekoma, yaani asingelala mtu kabla reli haijafika mpakani hata kwa ngumi.Hapa unatunia nguvu ya mikono badala ya nguvu ya akili, Kagame na Sudan wanabiashara ya kusaidia kulipa hiyo reli? Kinachojulikana mpaka sasa, hiyo reli ni mali ya Mchina na imejengwa kurahisisha biashara za mchina. Kwa kifupu Kagame hataki kuanza kujaziwa mitumba ya kichina kama ilivyo ya kimarekani.
Let me remind you parliament has no any other source of revenue than tax payers money. I can't imagine your actually trying to justify wasteful of public funds. Just give JPM that kind of budget and see the The Miracle Of Moses.
The last time Kenya borrowed under 7% interest rate was seven years, you don't tells us that Kenya still borrow at lower rate unless is from China which in the end those loan were meant to spark Chinese business rather than Kenya's. There is no big economy or small economy all we see is wastage and negligence of people in power. My main argument is still stand what is there to show with budget Kenya present if 60% goes to repay loans and interests rates of loans?.
No need to guess or to polish the unpolished, here are the real figures.As usual pulling figures from your a**. Of $30 billion budget, only about 30% is going towards loan repayment. Not 60% as you put it.
If we were to calculate how much is going towards actual interest, I would estimate around 1-2% of the budget. That is the only 'loss' Kenya is incurring.
Your thinking, and sadly the thinking of the rest of your countrymen, is that we're repaying for nothing. Because of those loans, we have built and continue to build some great highways. Big projects are ongoing in water, irrigation, electricity etc.
The things we're accomplishing now because of the loans, you will accomplish in 2070 'na pesa yenu'.
Kenya has been building flyovers since 2005 funded by loans, while Tanzania is celebrating building its first flyover in 2019.
Actually even if we were spending 90% of the budget to pay loans, it is okay as long as we're paying for projects.
And it's basically a ripple effect. The more infrastructure and development projects, the faster the economy grows, the more revenue the government collects, and the more able it is to settle debts.
Every year, tax revenue increases substantially giving the government increased ability to pay old debts and take new ones.
As for parliament, I am not justifying them going to China. I brought the issue of them having their own budget because you tried to tie their trip to loans and development.
haya ya kujenga usiku na mchana tuachie sisi watanzania ndio tunayajuwa na kuyatekeleza.Napata raha sana reli yetu inavyowapa tabu, mbele kwa mbele I wish ningekua rais wa hii nchi ndio mngekoma, yaani asingelala mtu kabla reli haijafika mpakani hata kwa ngumi.
Waaapi mdebwedo tu....mngekua na bidii hamungeongoza Afrika kwa umaskini huku mkiwa na raslimali zaidi ya mataifa yote ya Afrika.haya ya kujenga usiku na mchana tuachie sisi watanzania ndio tunayajuwa na kuyatekeleza.
Haha, duh umetuchoka. Yani unatuweka kundi moja na Togo, CAR, Malawi, Somalia, Niger. Nimesema kwenye hii tovuti nimeona na Kenya mko kwenye kundi la unasikini.Waaapi mdebwedo tu....mngekua na bidii hamungeongoza Afrika kwa umaskini huku mkiwa na raslimali zaidi ya mataifa yote ya Afrika.
Haha, duh umetuchoka. Yani unatuweka kundi moja na Togo, CAR, Malawi, Somalia, Niger. Nimesema kwenye hii tovuti nimeona na Kenya mko kwenye kundi la unasikini.
The Poorest Countries in the World (2018-2022)
Hapo hapo nimetazami kwenye tovuti hii sijaona jina la Tanzania
Top 10 Poorest Countries in Africa | Africa Facts
Napata raha sana reli yetu inavyowapa tabu, mbele kwa mbele I wish ningekua rais wa hii nchi ndio mngekoma, yaani asingelala mtu kabla reli haijafika mpakani hata kwa ngumi.
Hahaha sawa basi. Thika road, bypasses zote zilizoko nchini pia ni za waChina. Tusonge mbeleNyie hamna reli. Ile ni ya mChina ilaimejengwa kwenye ARDHI YENYU.
Hahaha sawa basi. Thika road, bypasses zote zilizoko nchini pia ni za waChina. Tusonge mbele
Difference ya akina Thika road na hizo bypasses kwa SGR basi ni gani? Na usiseme pesa kwa sababu SGR is such a huge project, obviously it required/requires a lot of capital.Hizo siyo SGR.