Database

hapa umeelezea vema sana
 
Fanya hivi mkuu:

Mwanafunzi akishasajiriwa anapewa id na temporary password,

Baadaye atatumia hizo credetials ku log in na kisha mfumo utam direct kumalizia usajili wake.

Baada ya hapo, mfumo uta update hizo taarifa na ata create paaword mpya!
Hapa nimejaribu njia nyingine ya kucreate username kama registration no yake na password by default 1234 then akilogin anabadilisha password mwenyewe tu! Pia naona ni simple but pia naweza set expired password after 2week kama student haja login!! Ushauri kidogo hapo
 
Iko poa, lakini ungeiboresha kidogo, password iwe automatically generated randomly, lakini yenye chars chache ambayo ataipata kwa njia ya email au text
 
Iko poa, lakini ungeiboresha kidogo, password iwe automatically generated randomly, lakini yenye chars chache ambayo ataipata kwa njia ya email au text
Sorry nawezaje kucreate hiyo automatic password generated?
 

Mkuu nyie ndio ma hackers mnaochezea matokeo ya watu vyuoni.

Niko interested na kujua haya madude ila sijui nianzie wapi
 
Nadhanini vyema ukatengeneza create account page iwe na registration number na password. Then anposubmit unakweli database unaangalia kama kasajiliwa, kama kasajiliwa unaadd password field ambayo mwanzo ilikua empty. MySQL inahitaji schema iwe planned in advance tofuti na no SQL
 
Mkuu nyie ndio ma hackers mnaochezea matokeo ya watu vyuoni.

Niko interested na kujua haya madude ila sijui nianzie wapi

Mimi sipendi kuwa Hacker, kama uke kweli interested take your time na ujifunze mkuu
 
Sorry nipo nje ya mada. Kwenye blog yangu nimeweka matangazo ya propeller direct link (smart link). Sasa ukiclick ina kuredirect kwenye page ya Google (Home page ya browser). Na tatua vipi hili tatizo?
 
Sorry nipo nje ya mada. Kwenye blog yangu nimeweka matangazo ya propeller direct link (smart link). Sasa ukiclick ina kuredirect kwenye page ya Google (Home page ya browser). Na tatua vipi hili tatizo?
 
Sawa mkuu!!

Naanzia wapi sasa?

mimi sijui kabisa haya makitu

Unaanzia pale kwenye jibu lako la kwanini unataka kuwa hacker badala ya decent programmer. Hacking sometimes huwa ni hobi ya mtu au hujengwa baada ya kuangalia baadhi ya movies na kujikuta unatamani kuwa mmoja wa hackers kama vile watu wanavyotamani kuwa kama makomandoo. All in all, all hackers are programmers but not all programmers are hackers.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ