Wanatia hasara sana wa aina hii. Ya mlo na maintenance. Ukiwa na demu huyo gari kama vitz lazima kivunjike spring. Nguo lazima mita zizidi, kwenye maakuli usiseme, kitanda zaidi ya queen size yaani everything comes xxl.
baba ilo dude kweli ni danger yani likikulalia hilo na likagoma kutoka apo juu..! mzee unaweza kuvunjwa uti wa mgongo bureee...! balaa ni pale liki kukalia na linataka ulifikishe uhuru peak pale kilimanjaro..! unaweza ukafa..! ndio maana ni muhimu mwanaume uwe mtu wa mazoezi ili mechi na timu kama hizi ukikutana nazo inakua ni kama barcelona na mtibwa tu...!