Kuna watu wa karibu wa familia. Majirani pia. Mbona unakua kama mgeni humu hii si thread. Mimi mpita njia ila ningependa kujua taarifa kamili..mbona kavu ivo wewe...embu tulia
Yes ni kweli! Dr Bake daktari bingwa wa mifupa aliyeanzia kazi Tumbi hospital amefariki dunia poleni sana wanajumuiya ya shirika la elimu Kibaha pamoja na mwl na mama yangu mama Bake mkubwa wa kwa Mathias
Yes ni kweli! Dr Bake daktari bingwa wa mifupa aliyeanzia kazi Tumbi hospital amefariki dunia poleni sana wanajumuiya ya shirika la elimu Kibaha pamoja na mwl na mama yangu mama Bake mkubwa wa kwa Mathias
Kama ni kweli, basi ni pigo kubwa mno kwa Watanzania.Kwa wasiomjua,huyu alikuwa ni Dr bingwa wa mifupa Tanzania.Na Inasemekana,mabingwa wa mifupa walikuwa ni yeye Dr Bake na Professor Sarungi
Kama ni kweli, basi ni pigo kubwa mno kwa Watanzania.Kwa wasiomjua,huyu alikuwa ni Dr bingwa wa mifupa Tanzania.Na Inasemekana,mabingwa wa mifupa walikuwa ni yeye Dr Bake na Professor Sarungi
Kuna watu wa karibu wa familia. Majirani pia. Mbona unakua kama mgeni humu hii si thread. Mimi mpita njia ila ningependa kujua taarifa kamili..mbona kavu ivo wewe...embu tulia
Yes ni kweli! Dr Bake daktari bingwa wa mifupa aliyeanzia kazi Tumbi hospital amefariki dunia poleni sana wanajumuiya ya shirika la elimu Kibaha pamoja na mwl na mama yangu mama Bake mkubwa wa kwa Mathias
Kama ni kweli, basi ni pigo kubwa mno kwa Watanzania.Kwa wasiomjua,huyu alikuwa ni Dr bingwa wa mifupa Tanzania.Na Inasemekana,mabingwa wa mifupa walikuwa ni yeye Dr Bake na Professor Sarungi
Kama ni kweli, basi ni pigo kubwa mno kwa Watanzania.Kwa wasiomjua,huyu alikuwa ni Dr bingwa wa mifupa Tanzania.Na Inasemekana,mabingwa wa mifupa walikuwa ni yeye Dr Bake na Professor Sarungi