H have me baby Member Joined Apr 7, 2011 Posts 8 Reaction score 0 Apr 7, 2011 #1 mimi naishanga sana tena sana hasa hii serekali yetu,kwanini wanawasumbua hivi hawa wazee estiafrika kwanini hawawapi hizo pesa zao jamani,kilasiku wanawazinguatu hembu nisaidieni jamani KWANINI?wazee wamechoka jamani wapeni haki yao....PUMBAVU.
mimi naishanga sana tena sana hasa hii serekali yetu,kwanini wanawasumbua hivi hawa wazee estiafrika kwanini hawawapi hizo pesa zao jamani,kilasiku wanawazinguatu hembu nisaidieni jamani KWANINI?wazee wamechoka jamani wapeni haki yao....PUMBAVU.
Nazjaz JF-Expert Member Joined Jan 20, 2011 Posts 7,775 Reaction score 9,202 Apr 7, 2011 #2 wazee wamesha lipwa, ila pesa ikaisha kabla haijawafikia.
H have me baby Member Joined Apr 7, 2011 Posts 8 Reaction score 0 Apr 7, 2011 Thread starter #3 kwanini zisiwafikie walengwa?nakama hazijawafikia sasa zipo wapi mpaka sasa?
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,585 Apr 7, 2011 #4 ndo ibdi wpewe mkwnja wao na waliokla wanyongwe hta kama kaacha kaz kwng yeye ndo kikwazo....daamn!?...
ndo ibdi wpewe mkwnja wao na waliokla wanyongwe hta kama kaacha kaz kwng yeye ndo kikwazo....daamn!?...