M Magomamh'ingo Member Joined Jul 11, 2015 Posts 31 Reaction score 6 Jul 25, 2015 #1 Wakuu nipo kituo cha kujiandikisha daftari la kupigia kura. Nimefika saa Nane na dakika kumi, nimekuwa mtu wa 40! Mpaka muda huu tayari kuna watu takribani 150! Nipo Kisiwani shule ya msingi, Kigamboni Dar es salaam. Vip huko kwenu?
Wakuu nipo kituo cha kujiandikisha daftari la kupigia kura. Nimefika saa Nane na dakika kumi, nimekuwa mtu wa 40! Mpaka muda huu tayari kuna watu takribani 150! Nipo Kisiwani shule ya msingi, Kigamboni Dar es salaam. Vip huko kwenu?
M MASTERSERIES Member Joined Jun 11, 2015 Posts 18 Reaction score 6 Jul 25, 2015 #2 Huku hali mbaya mbagala nimefika saa saba usiku ni mtu wa mia mbili
chikutentema JF-Expert Member Joined Dec 10, 2012 Posts 7,730 Reaction score 5,011 Jul 25, 2015 #3 Dah Mkuu mi hata sielewi tunajiandikisha wapi, aisee mitihani imechacha mpaka sio vizuri lakini leo ntakomaa nao tu
Dah Mkuu mi hata sielewi tunajiandikisha wapi, aisee mitihani imechacha mpaka sio vizuri lakini leo ntakomaa nao tu
swissme JF-Expert Member Joined Aug 15, 2013 Posts 13,663 Reaction score 19,903 Jul 25, 2015 #4 Jitahidi kamanda hili upate haki yako mkuu unaonekana unaipenda sana nchi yako.its only you,you can make changes in your country sir. swissme
Jitahidi kamanda hili upate haki yako mkuu unaonekana unaipenda sana nchi yako.its only you,you can make changes in your country sir. swissme
K Kapahi Senior Member Joined Jan 25, 2015 Posts 121 Reaction score 20 Jul 25, 2015 #5 Huku kibamba wameweka na mzani kwenye chumba kujiandikisha cjaelewa kwanini
M Magomamh'ingo Member Joined Jul 11, 2015 Posts 31 Reaction score 6 Jul 25, 2015 Thread starter #6 Kapahi said: Huku kibamba wameweka na mzani kwenye chumba kujiandikisha cjaelewa kwanini Click to expand... Duh, mzani! wa kazi gani tena??
Kapahi said: Huku kibamba wameweka na mzani kwenye chumba kujiandikisha cjaelewa kwanini Click to expand... Duh, mzani! wa kazi gani tena??
Mzee wa Ndogo JF-Expert Member Joined Oct 29, 2012 Posts 204 Reaction score 79 Jul 25, 2015 #7 Hapa kizuiani - mbagala nimefika saa 7 nipo wa 60 tumeambiwa tuje kesho leo ni wajana na wapo 268
M Magomamh'ingo Member Joined Jul 11, 2015 Posts 31 Reaction score 6 Jul 25, 2015 Thread starter #8 Dah, mtu wa sita tu, mashine limegoma! Si balaa hili??