CV ya waziri kivuli wa mambo ya Ndani: Vincent Nyerere

ndio wale wale tu sema tofauti ni mmoja wa chadema na mwingine wa ccm ndio mana unatapa tapa kujaribu kumficha wa chadema kutokana na kuzidiwa na mapenzi ya chama kupita kiasi tu

Hoja ya usomi imepelekea wanasiasa wengi kuacquire credentials kutoka unaccredited Universities. Eidha kwa kukusudia,ama bahati mbaya.. Wengi wanaforce waitwe ma-Dr.na ma-Eng. Wakati nchi zilizoendelea,hawatambishiani elimu kama sisi.
Viongozi wa Marekani huwezi kusikia Dr so and so... Ijapokuwa wengi ni Phd holders..
 
Pesa na politics ni vitu viwili ambavyo haviitaji sana elimu ...kuna maprof kibao ambao hata kuongoza familia zao ni matatizo
 
acha uongo wako,unamdanganya jamaa badala ya kumshauri ajiendeleze kielimu,mbona wewe umesoma vizuri na watoto wako unasomesha kwa bidii kamaelimu haina mpango kwa maisha ya sasa na yajayo unahangaika nini?!!
Mkuu, mbona hujaitendea haki akili yako, nifafanulie uongo wangu nishawishwe na elimu ya kukariri. Shule tunapata elimu ya kufunzwa na wengine, maisha yanahitaji tuwe na akili ya ubunifu na kujiongeza.
 
Pesa na politics ni vitu viwili ambavyo haviitaji sana elimu ...kuna maprof kibao ambao hata kuongoza familia zao ni matatizo
Kinachojadiliwa sio uwezo wa pesa isipokuwa uwezo wa kuchanganua mambo na kukabiliana na mazingira yetu na matatizo ya jamii.
 
Kati ya V nyerere na mwanasheria mkuu wa serikali nani anaonekana mbumbumbu mbeld ya jamii?
 

Kama walivyomuokota sugu
 
Yaani kazidiwa hata na maji marefu. Harafu watu wanalalamika maendeleo
 
Kwahiyo chadema wakichukua nchi huyu ndiye waziri wa mambo ya ndani . Duh. Mshikaji hata diploma imemshinda basi hata cheti tu au high school . Hata ku re seat
 
Hakiika sikuwa najua kama jamaa ni O-level.
Upstairs yuko vizuri sana, naombea apige A-Level, maana atakuwa zaidi ya wabunge kama 50 wenye "PHD", na wale so called Harvard Graduates.
Tuko Pamoja Vincent.
 
Habari ndio hiyo mkuu!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…