CV ya Patrobas mrithi wa John Heche BAVICHA

Ndo umekuja kumsafisha hapa?..Kwenda zako huko,huyo ni pandikizi tunamfahamu toka mwanzo!
 
Mleta mada umeandika maelezo ya huyo ndugu ila hujaandika wasifu wake
 
hujui unachokisema unaropoka tu wewe. humjui gadafi na huna mamlaka ya kueleza historia yake wala hupaswi kuendelea kuropoka....aliyoyafanya gadafi kwa afrika na nchi yake hakuna anayeweza kukaribia hata robo...usikurupuke...acha ukibaraka. waliomuua gadafi leo hii wanajuta, laana imewapiga libya haina tena amani. watu wanamtaka ww unakuja na porojo hapa.
 
hivi jamani kwanini watu wanajifanya ni wajuaji kumbe mbele giza?? cv zinakuwaga hivi?? haya ambao hamkuogopa umande mtusaidie, sie tukisema tutaambiwa tunaongea uongo...
 
Ni vizuri kutujulisha' historia' yake. Tunashukuru. Sasa tunaomba weka CV. Kama hauna wasiliana nae akupe kisha uiweke hapa kwani inaonekana unamfahamu!
 
Naongezea,

PASCHAL K. PATROBASS, Alisoma elimu yake ya kidato cha 5-6 MALANGALI-IRINGA.

PASCHAL K.PATROBASS, Tumeajiriwa naye siku moja pale Sahara media, yeye aliajiriwa kama Mwanasheria wa Kampuni baadae kutokana na uwezo wake kampuni ikamteua kuwa MANAGER MSAIDIZI RASILIMALI WATU NA UTUMISHI.
 

Nanusa harufu ya udini hapa, wewe huna lolote zaidi ya kuuwaza ule msikiti wa Dodoma uliojengwa na gadafi, nyie ndio yale mabakaji yanayotumia chakula kule somalia kwa lengo la kuwapata watoto wadogo. Ghadafi unayemsema wewe pamoja na mambo mengine aliendesha nchi kama nyumba yake hakuna kugombea udiwani wala uenyekiti wa mtaa,ndugu jamaa na marafiki ndio walijaa kwenye nafasi mbalimbali za uongozi, kisa aliwapa wananchi fedha au unafuu lakini bila uhuru wa kukosoa? katika zama hizi?aliyofanya nje mengi ni udini na kusaidia magaidi mfano boko haramu, umesahau vita ya Idd amini au ulikuwa hujazaliwa?, wewe huna taarifa za gadafi hacha kuropoka hovyo.kinachotokea libya ni itikadi kali ya kiislam versus demokrasia, kila mtu anajua hilo(mwenye akili timamu lakini) mmekalia kuwasingizia wamarekani tu.
 
IVI MNAONIOMBA CV ya Mheshimiwa Mwenyekiti, ! MNATAKA MUMPE KAZI?

Sawa maafisa rasilimali watu ACT na CCM! nimewaelewa... Nawasamehe bure maana mmevurugwa tu na mfumo wa Elimu ya Kikoloni! CV ya mwanasiasa INAJENGWA NA HISTORIA YAKE, Juhudi na harakati ndani na nje ya Chama, katu haziandikwi kama za kuombea AJIRA. Naona wengi wenu ni wepesi vichwani na mna kungu la giza ila sii mbaya " Nayaacha magugu yamee pamoja na ngano".
 
Tanzania yangu niipendayo naiskitikia kwa kukosa watu hata wenye uwezo wa kuandika cv ya mtu what is cv? It is not story even history of somebody tafadhal tuwen na akl watanzania.
 

Hata wewe una elements za udini!Unaposema wamezoea kuwasingizia wamarekani unamaanisha akina nani!
 
Hata wewe una elements za udini!Unaposema wamezoea kuwasingizia wamarekani unamaanisha akina nani!

kuna mtu ambaye si mdini?, basi mpagani!! huwezi kuniambia kuwa unaswali kila siku alafu ukawa kinara wa kuvunja amri10 za mungu,wewe ni mgeni wa mijadala humu JF? kila mtu ni mdini isipokuwa dini isiingie kwenye mifumo ya kiserikali,unataka kujifanya hujui kuwe watu wenye upeo finyu(hasa kutoka Africa) ndio vinara wa kusingizia wamarekani eti tu kwa kuwa ndugu zao(wenye imani sawa) wanapigana?
 
Paschal Patrobas tuwekee jina la ukoo. Umeshakuwa mtu mkubwa sasa jina la ukoo ni muhimu. Hayo kizungu ebu yaongezee heshma
 
Tuendelee na mjadala wa mrithi wa Heche
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…