Sasa hivi CUF, TLP, NCCR Mageuzi hawana jeuri maana chadema wamewekeza kwa wananchi - nguvu ya umma. Nadhani hii inaweza kuwa tiba ya u-mamluki maana wanasiasa walizi kuwa vigeugeu. Unashindwa kujuwa wanasimamia nini maana leo yuko huku kesho kule ili mradi posho inaingia. Sasa wananchi tunatakiwa kuwa wakali, hatutaki ulaghai.