Cryotocurrency is real!

Kichochoro

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2017
Posts
1,135
Reaction score
1,168
Wakuu kwa wale ambao niwazoefu kwenye hzo cryotocurrency hasa upande wa wallet nimeona baadhi ya wallet charge yake Ni kubwa Sana mfano remitano kuwidraw wanakata Zaid ya 0.0005btc lakin localbitcoin wao Ni wewe na mtu unayetaka kumuuzia lakin ukitaka kutuma btc wanachange 0.00005 Naomba kufaham Kama Kuna mtu anafaham wallet ambazo zipo chipu Zaid kwa wale waoefu nomba kufahamishwa
 
Ukitaka kupoteza pesa yako ,ww fanya hayo mabit con ,sijui prit coton ,wana badili badili majina ila jamii ni hiyo hiyo ,hautakuja kuamini ,kwanza wanaohubiri hizo habari wengi nimewafatilia ni vishazi Tegemezi ,wanaishi kwa mashemeji ,wanadhani kufanikiwa ni kuamka umekuwa Tajiri ,mara sijui kumine bitcone ,ingekuwa hivyo mabilionea wasingewekeza katika migodi ya madini ya kawaida ,Hakuna njia ya mafanikio rahic labda uuze unga ...
 
Upo sawa mkuu hupaswi kupigwa hayo Ni mawazo yako pia
 
Mkuu wanaweka hayo makato ili transactions ziwe confirmed haraka

Ila kwa jinsi ninavyoona hizi cryptocurrencies zinahitaji angalau mtu uwe kama na million 10 hivi ambayo haina kazi ndio itakuwa rahisi kuinvest maana kama transaction cost tu ni laki unategemea upate nini kwenye uwekezaji wako wa laki 1 na ½
 
Hakuna biashara isiyokuwa na changamoto bro chukulia Ni sehem ya changamoto na hvyo wataalam wanakushaur uinvest kias ambacho unaweza kukipoteza,!
 
Mining ni mziki mnene hasa kwa Issue ya Power, kwa TZ ni ngum sana kufanya + costful. Sikushauri.
Huenda very soon mining ikaanza kufanyika Tanzania, tuombe Uzima kuna jamaa wawili wanataka kuwekeza humo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…