Yusuph mbilinyi
Member
- May 10, 2012
- 29
- 3
Habari wakuu
Kuna haka ka kitu kapo fb na pia play store wana app inaitwa credit fund.. Wanasema wao wanatoa Mikopo,,unaweka akiba then ndo unakopa...
Nilikua naomba kujua anae wafahamu hawa jamaa coz nahic wezi hivi ,ni rahic mno kupata Mikopo mpaka inatia shaka ...wanasema ofisi zao zipo dar kigamboni
Kuna haka ka kitu kapo fb na pia play store wana app inaitwa credit fund.. Wanasema wao wanatoa Mikopo,,unaweka akiba then ndo unakopa...
Nilikua naomba kujua anae wafahamu hawa jamaa coz nahic wezi hivi ,ni rahic mno kupata Mikopo mpaka inatia shaka ...wanasema ofisi zao zipo dar kigamboni