Biashara ya hela kufanya bila risiti au kithibitisho ni hatari c kwa cmu banking tu bali hata kwa wanaodraw hela atm bila kuchukua receipt,mtalia yalinikuta csahau
Uctumie mpesa sababu huna receipt na n wachache wanaotunza sms pia atm kumbuka receipt walioweka hvyo c wapumbavu shortcut znaponza ndg zanguni