mliverpool
JF-Expert Member
- Jan 6, 2015
- 1,507
- 2,832
Utoaji wenu wa pesa umekiwa wa shida sana siki hizi, hata kwa MIKOPO ambayo risk yake ni ndogo kama wafanyakazi, staff wenzangu walienda miezi miwili iliyopita iliwachukua zaidi ya mwezi kuwekewa hela huku wakipewa kisingizio cha system, na mimi nikasema nikakwapue nilainishe vyuma mwanzo wa mwaka huu napewa kisingizio kilekile, namaliza mwezi sasa
Hivi mnajua idadi ya benki zinazopishana kwenye makorido ya maofisi ya umma kutafuta wakopaji?
Kama MMEFULIA mtoe tamko, au mpeni mkataba Kimei awasaidie maana bwana Nsekela mambo yanamuia magumu.
Hivi mnajua idadi ya benki zinazopishana kwenye makorido ya maofisi ya umma kutafuta wakopaji?
Kama MMEFULIA mtoe tamko, au mpeni mkataba Kimei awasaidie maana bwana Nsekela mambo yanamuia magumu.