Cotrimoxazole for sale

sammy255

Senior Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
123
Reaction score
87
Available stock 40 tins
T/1000
Expiry 2020
Manufacturer: Micros
Price: Tsh 17,000/= @ Tin
 
Siku hizi mnauza dawa kiholela hivi?
 
Weka Namba ya Usajiri ya TFDA na Usajiri wa Biashara wa Pharmacy Council
 
Antibiotic nijuavyo hata pharmacy huuziwi bila Dr's prescription, kumbe unaweza kuzinunua hata JF!
Mkuu hii ni kwa watu wenye pharmacy sio individual ndio maana umeona Tin zipo nyingi. Si prescribe bali nauza kwa mwenye uhitaji wa hii item.
 
Nyinyi ndiyo mnsababisha kuenea kwa antibiotic resistance, sasa mtu ananunua hilo kopo, kila anaekohoa ndani ya nyumba yake atapewa antibiotics wakati magonjwa mengine mwili unaweza kujitibu wenyewe bila kuhitaji dawa. Ni muhimu kupata prescription ya dr kama unaumwa na ukimaliza kutumia antibiotics zilizobaki zipeleke pharmacy wakusaidie kuzitupa/kuteketeza.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…