Joowzey JF-Expert Member Joined Nov 13, 2015 Posts 13,164 Reaction score 13,549 Aug 19, 2016 #21 Mustaphagentleman said: Unaweza kupeleka Gari mikoani kwa Wateja wanaoagiza Gari zao? Click to expand... Ndio mkuu naweza Mustaphagentleman tafadhali tuwasiliane pm kwa maelezo zaidi nipo serious katika hili.
Mustaphagentleman said: Unaweza kupeleka Gari mikoani kwa Wateja wanaoagiza Gari zao? Click to expand... Ndio mkuu naweza Mustaphagentleman tafadhali tuwasiliane pm kwa maelezo zaidi nipo serious katika hili.
moto wa maji JF-Expert Member Joined Mar 25, 2016 Posts 4,174 Reaction score 3,006 Aug 20, 2016 #22 mtoto wa afrikaa said: Kuajiriwa sio ishu jaribu kuchangamsha akili zako ili uangalie fursa za kujiajiri.. Click to expand... mkuu kwani kujiajiri hakuitaji connection?mshauri kuhusu connections... sio unaropoka eti changamsha akili jiajiri
mtoto wa afrikaa said: Kuajiriwa sio ishu jaribu kuchangamsha akili zako ili uangalie fursa za kujiajiri.. Click to expand... mkuu kwani kujiajiri hakuitaji connection?mshauri kuhusu connections... sio unaropoka eti changamsha akili jiajiri
mtoto wa afrikaa Member Joined Aug 8, 2016 Posts 98 Reaction score 81 Aug 20, 2016 #23 moto wa maji said: mkuu kwani kujiajiri hakuitaji connection?mshauri kuhusu connections... sio unaropoka eti changamsha akili jiajiri Click to expand... Kama atakosa connection atasubili mpaka lini kusubilia kitu ambacho hana uhakika lini atakipata...usiwe mvivu wa kufikiri sumbua hakili yako Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
moto wa maji said: mkuu kwani kujiajiri hakuitaji connection?mshauri kuhusu connections... sio unaropoka eti changamsha akili jiajiri Click to expand... Kama atakosa connection atasubili mpaka lini kusubilia kitu ambacho hana uhakika lini atakipata...usiwe mvivu wa kufikiri sumbua hakili yako Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
moto wa maji JF-Expert Member Joined Mar 25, 2016 Posts 4,174 Reaction score 3,006 Aug 21, 2016 #24 mtoto wa afrikaa said: Kama atakosa connection atasubili mpaka lini kusubilia kitu ambacho hana uhakika lini atakipata...usiwe mvivu wa kufikiri sumbua hakil yako QUOTE] mkuu ata kujiajiri kunahtaji connections acha kufikiri kama digi digi. sent from SIEMENS mkonge. Click to expand...
mtoto wa afrikaa said: Kama atakosa connection atasubili mpaka lini kusubilia kitu ambacho hana uhakika lini atakipata...usiwe mvivu wa kufikiri sumbua hakil yako QUOTE] mkuu ata kujiajiri kunahtaji connections acha kufikiri kama digi digi. sent from SIEMENS mkonge. Click to expand...
J jamaliprint Member Joined Feb 28, 2015 Posts 33 Reaction score 32 Aug 21, 2016 #25 Mustaphagentleman said: Unaweza kupeleka Gari mikoani kwa Wateja wanaoagiza Gari zao? Click to expand... Mustapha naomba unicheki Whatssap 0718654070
Mustaphagentleman said: Unaweza kupeleka Gari mikoani kwa Wateja wanaoagiza Gari zao? Click to expand... Mustapha naomba unicheki Whatssap 0718654070