Kuna uwezekano mkubwa kuwa Capacitors zitakuwa zimeumuka.Habari wakuu Kheri ya mwaka mpya.
Nina computer yangu Hp Compaq (hp D330 ut) hii ndio kila kitu kwangu nikiaanisha ndio naitegemea kufanyia kazi zangu.
mwezi ulio kipa ilianza tatizo lakuzima kila baada ya lisaa limoja kuzima kwenyewe nikwamba screen inazima na kusema no signal lakini cpu inafanya kazi na uki-press botton ya start/off ataushilikie kwa dakika 10 haizimi hadi uchomoe power cable au kuzimia ukutani..
Na ukizima CPU ina waka ila hamna signal yoyote inayokwenda kwenye monitor. ili iwake ni lazima niiache hadi masaa matatu ya pite ndipo itawaka tena, na mchezo unakua huo huo...
Hivi majuzi haifikishi tena lisaa limoja ndio izime bali kwa sasa inazima baada ya dakika 2 tu baada ya kuwaka vizuri kabisa.
Hatua nilizochukua nimeifungua na kujaribu kucheck feni inafanya kazi nimekuta iko vizuri kabisa na mashine ndani haina vumbi kabisa. Nimebadilisha ram, Power Supply lakini wapi bado tatizo liko pale pale. na sina hakika kama ni processor...
Naomba mnipa msaada/ushauri wenu wakiufundi ili niwezekujua tatizo ni nini hasa.
Uliifanya nini ikaanza haya matatizo?
Ina mwaka japo siku nunua ikiwa mpya...Swali ni kwamba toka umenunua ina miaka mingapi?
enjoy++
Kuna uwezekano mkubwa kuwa Capacitors zitakuwa zimeumuka.
Habari wakuu Kheri ya mwaka mpya.
Nina computer yangu Hp Compaq (hp D330 ut) hii ndio kila kitu kwangu nikiaanisha ndio naitegemea kufanyia kazi zangu.
mwezi ulio kipa ilianza tatizo lakuzima kila baada ya lisaa limoja kuzima kwenyewe nikwamba screen inazima na kusema no signal lakini cpu inafanya kazi na uki-press botton ya start/off ataushilikie kwa dakika 10 haizimi hadi uchomoe power cable au kuzimia ukutani..
Na ukizima CPU ina waka ila hamna signal yoyote inayokwenda kwenye monitor. ili iwake ni lazima niiache hadi masaa matatu ya pite ndipo itawaka tena, na mchezo unakua huo huo...
Hivi majuzi haifikishi tena lisaa limoja ndio izime bali kwa sasa inazima baada ya dakika 2 tu baada ya kuwaka vizuri kabisa.
Hatua nilizochukua nimeifungua na kujaribu kucheck feni inafanya kazi nimekuta iko vizuri kabisa na mashine ndani haina vumbi kabisa. Nimebadilisha ram, Power Supply lakini wapi bado tatizo liko pale pale. na sina hakika kama ni processor...
Naomba mnipa msaada/ushauri wenu wakiufundi ili niwezekujua tatizo ni nini hasa.
Mkuu Smartbrain ,Nashukuru sana kwa usahuri wako, niko mbioni kutafuta processor nyingine...Hiyo ni processor mkuu jarbu kubadili processor
Je haina tabia ya ku stack au feni kupiga kelele? Kama ina hizo tabia basi processor ina overheat. Otherwise jaribu kubadili processor na uweke thermal grease ya kutosha
Mkuu Smartbrain ,Nashukuru sana kwa usahuri wako, niko mbioni kutafuta processor nyingine...
Mkuu ymollel, inaelekea nitapata ufumbuzi wa tatizo la hii mashine, kwani ni kweli Themal Grease imebaki kidogo sana kwenye processor na heat sink.Je naweza kupata wapi hiyo thermal grease? Hai-stack ila inapowaka kwa dakika 1 na kufika hadi desktop hapo ndipo screen go off kwa ku blik blik mwanga unafifia na hapo hapo inaleta ujumbe wa No signal kwenye screen..
Na ukipress botton ya Ku-switch off haifanyi kazi hadi uchomoe power cable....
Natumai umeelewa maelezo yangu vizuri.