somji Senior Member Joined Jan 11, 2015 Posts 114 Reaction score 67 Nov 13, 2019 #1 Ni compresa kutoka UK na Germany zinauzwa kwa bei chee kabisa! Ili kuukomboa Mzigo Mwingine Bandarini. 0713365932.
Ni compresa kutoka UK na Germany zinauzwa kwa bei chee kabisa! Ili kuukomboa Mzigo Mwingine Bandarini. 0713365932.
I Iglesias JF-Expert Member Joined May 29, 2017 Posts 424 Reaction score 497 Nov 13, 2019 #2 Samahani kutoka nje ya mada, hii kitu naionaga sana, kazi yake ni ipi hasa?
doup JF-Expert Member Joined Feb 26, 2009 Posts 2,718 Reaction score 2,898 Nov 13, 2019 #3 Weka bei elekezi watu wapime kina cha maji.
K kyata JF-Expert Member Joined Jun 20, 2015 Posts 2,534 Reaction score 2,500 Nov 13, 2019 #4 doup said: Weka bei elekezi watu wapime kina cha maji. Click to expand... Kweli itakuwa powa akifanya hivyo
doup said: Weka bei elekezi watu wapime kina cha maji. Click to expand... Kweli itakuwa powa akifanya hivyo
BlackPanther JF-Expert Member Joined Nov 25, 2015 Posts 9,334 Reaction score 8,813 Nov 13, 2019 #5 Weka picha na uambatanishe na bei...au za wizi?
M MAKULUGA JF-Expert Member Joined Jan 21, 2011 Posts 8,098 Reaction score 10,937 Nov 13, 2019 #6 Kumbe Mimi,mshamba nisingeona picha nisingelewa compressor ni Nini!
Kikotooriginal Senior Member Joined Aug 17, 2018 Posts 116 Reaction score 83 Nov 13, 2019 #7 weka bei mkuu
Sirdirashy JF-Expert Member Joined Jan 26, 2014 Posts 3,249 Reaction score 3,070 Nov 13, 2019 #8 Iglesias said: Samahani kutoka nje ya mada, hii kitu naionaga sana, kazi yake ni ipi hasa? Click to expand... Inafua upepo inatumika sana migodini inakuwa connect na diga zake kwa ajili yakutoboa
Iglesias said: Samahani kutoka nje ya mada, hii kitu naionaga sana, kazi yake ni ipi hasa? Click to expand... Inafua upepo inatumika sana migodini inakuwa connect na diga zake kwa ajili yakutoboa