Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Twitter to me is more educative
FB is for flirting
Skype interactive communication, cheap calls
JF is nowhere close to FB, twitter or Skype, I can't anything in JF there no more freedom of expression!! JF is full of childish and abusive languages ! Personal attacks etc etc
toka na UZUNGU wako hapa...wazungu wameondoka AFRICA lakini watumwa bado mpo...Jf ni mtandao wetu...itakujenga unapotaka kujengeka...utacheka unapotaka kucheka...ati twiraa,katu hatuji kuwa na maendeleo...watu hatujui kusifia vya kwetu...ww+mvua mmeniharibia siku.
toka na UZUNGU wako hapa...wazungu wameondoka AFRICA lakini watumwa bado mpo...Jf ni mtandao wetu...itakujenga unapotaka kujengeka...utacheka unapotaka kucheka...ati twiraa,katu hatuji kuwa na maendeleo...watu hatujui kusifia vya kwetu...ww+mvua mmeniharibia siku.
Huyu jamaa namshangaa, kama haipendi JF anatafuta nini???
Karibu kufacebuku! Changia JF kidogo gharama za uendeshaji usishoboke bure tu
Angalia status yangu....
acha kuongea bila evidence....
Facebook ni utoto hakuna lolote...
Great Thinkers wako huku na waleeee ndo wako FB so chagua mwenyewe
Acha mbwe mbwe changia JF iBoreshwe! Achana na bla bla!! FB unategemea sana rafiki zako ni kina nani na security settings Umeweka vipi ! Si Kila mjinga anaweza post kwa wall yangu
Teh usiende mbali ili uamueNgoja zizuke ngumi hapa, mkumbuke kuvzz helmet.
Najua unatumia JF mobile....
Poa ntachangia zaidi na zaidi ila usilete tena kashfa zako coz hutakiwi kukata tawi ulilokalia
Teh usiende mbali ili uamue
toka na UZUNGU wako hapa...wazungu wameondoka AFRICA lakini watumwa bado mpo...Jf ni mtandao wetu...itakujenga unapotaka kujengeka...utacheka unapotaka kucheka...ati twiraa,katu hatuji kuwa na maendeleo...watu hatujui kusifia vya kwetu...ww+mvua mmeniharibia siku.
Hyu jamaa namshangaa, kama haipendi JF anatafuta nini???