chapaa JF-Expert Member Feb 19, 2008 2,351 204 Jun 28, 2011 #21 Mkuu mbele ya pesa mbona utawaona wa kumwaga wengineo wa humuhumu jamvini!Lol pesa ndo kila kitu The Boss said: hapo unatoa shindano kwa warembo.. zawadi sh milioni moja.... ndipo utakapowashangaa wadada hapo lol Click to expand...
Mkuu mbele ya pesa mbona utawaona wa kumwaga wengineo wa humuhumu jamvini!Lol pesa ndo kila kitu The Boss said: hapo unatoa shindano kwa warembo.. zawadi sh milioni moja.... ndipo utakapowashangaa wadada hapo lol Click to expand...
Husninyo JF-Expert Member Oct 24, 2010 23,723 9,193 Jun 28, 2011 #22 The Boss said: hapo unatoa shindano kwa warembo..zawadi sh milioni moja....ndipo utakapowashangaa wadada hapo lol Click to expand... mimi hata trilion sithubutu.
The Boss said: hapo unatoa shindano kwa warembo..zawadi sh milioni moja....ndipo utakapowashangaa wadada hapo lol Click to expand... mimi hata trilion sithubutu.
Romance JF-Expert Member Jun 15, 2011 586 159 Jun 28, 2011 #23 nitamkiss hapo penye fore head mana jama anaonekana wa ukweli mdomo sita dili nao.
The Boss JF-Expert Member Aug 18, 2009 49,111 115,906 Jun 28, 2011 #24 Husninyo said: mimi hata trilion sithubutu. Click to expand... we sema hapa ukioneshwa hizo pesa....utakuwa wa kwanza lol
Husninyo said: mimi hata trilion sithubutu. Click to expand... we sema hapa ukioneshwa hizo pesa....utakuwa wa kwanza lol
God bell JF-Expert Member May 13, 2011 590 210 Jun 28, 2011 #25 Ajuae faida ya hilo domo lake ni mpenzi wake.
Husninyo JF-Expert Member Oct 24, 2010 23,723 9,193 Jun 28, 2011 #26 The Boss said: we sema hapaukioneshwa hizo pesa....utakuwa wa kwanza lol Click to expand... aaah wapi!
The Boss said: we sema hapaukioneshwa hizo pesa....utakuwa wa kwanza lol Click to expand... aaah wapi!