Jf isahau dogo ...
Kua serious na masomo...(usimwache mungu pia)
Nasisitiza saana saana kusoma vitabu kuliko vitini,utanikumbuka..
Twit piga sana physics na math...na chemistry topic kubwakubwa..Na usitegemee kila kitu toka kwa walimu
Shirikiana na wenzako
Kuna muda mambo yataonekana mazito,ila usikate tamaa kaza zaidi...
Epuka makundi yasio na tija na kushabikia mpira kupitiliza
NB Hamna kombi ngumu advance,ilimradi uwe umeipenda toka moyoni
Hongera kwa kuchaguliwa kuingia advance...utafikia tuu ndoto zako,usijali chamsingi jitiada na kujituma