Comb ya pcm

Bouja

Senior Member
Joined
Mar 19, 2019
Posts
173
Reaction score
127
Habar wakuu
Nashukuru mungu nmepata nlicho muomba nmepangiwa comb ya pcm sasa nilikua naomba mnipe mbinu za kufaulu comb hii acha na ya kupiga msuri iyo nimeshajiandaa
Napenda nijue natakiwa niwe na nn?? Nisome nn zaid(nataka kua engineer) na nini ctakiw kufanya
 
1 Kusoma sana
2 hakikisha unamalza topic mapema
3 soma sana Physics maana ndio ngumu kidogo Advn Math na Chem ni za kawaida ila uzisome kila cku.
4 Solve maswali mengi sana kila ukimaliza topic au kipengele katika topic flani vitabu tofaut
5 Solve past paper za necta kwa wingi
 
Jf isahau dogo ...

Kua serious na masomo...(usimwache mungu pia)

Nasisitiza saana saana kusoma vitabu kuliko vitini,utanikumbuka..

Twit piga sana physics na math...na chemistry topic kubwakubwa..Na usitegemee kila kitu toka kwa walimu

Shirikiana na wenzako

Kuna muda mambo yataonekana mazito,ila usikate tamaa kaza zaidi...

Epuka makundi yasio na tija na kushabikia mpira kupitiliza

NB
Hamna kombi ngumu advance,ilimradi uwe umeipenda toka moyoni

Hongera kwa kuchaguliwa kuingia advance...utafikia tuu ndoto zako,usijali chamsingi jitiada na kujituma
 
shukran mkuu
 
nashukuru kwa ushaur nadhan ata wengn wakpita hapa watajfunza ki2
 
Kwa upande wa physics..usiisahau S.Chand.Maswali mengi ni worked example za humo.
 
skull gan unaenda ..mm pia nimechaguliw pcm Nsumba sec
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…