Kwanini clouds media ni wakabila sana. Almost wote ni wahaya na interview zao wanakuuuliza jina lako ili wajue we ni mhaya au la! Wapo wachache sana ambao siyo wahaya lakini wameajiriwa kwa bahati mbaya.
Kwanini clouds media ni wakabila sana. Almost wote ni wahaya na interview zao wanakuuuliza jina lako ili wajue we ni mhaya au la! Wapo wachache sana ambao siyo wahaya lakini wameajiriwa kwa bahati mbaya.
Kwa kweli ingependeza Meneja mwajiri aje ajibu tuhuma hizi kwa takwimu ili kumkomesha mtoa tuhuma na wengine wenye tabia za kutuhumu tuhuma bila kuwa na uhakika wa tuhuma husika au bila kutoa takwimu!
Hizi ni tuhuma nzuto!.
Kwa kweli ingependeza Meneja mwajiri aje ajibu tuhuma hizi kwa takwimu ili kumkomesha mtoa tuhuma na wengine wenye tabia za kutuhumu tuhuma bila kuwa na uhakika wa tuhuma husika au bila kutoa takwimu!.
Njoo na orodha ya waajiriwa wote hapo clouds media group kwanza ili tujiridhishe.
Pia katika zama hizi za mwingiliano mkubwa wa makabila yetu kutokana na kuoleana, kuitwa Muganyizi, Masawe au Mwashipumbu haitoshi kuitwa mhaya, mchaga au mnyakyusa
Kwanini clouds media ni wakabila sana. Almost wote ni wahaya na interview zao wanakuuuliza jina lako ili wajue we ni mhaya au la! Wapo wachache sana ambao siyo wahaya lakini wameajiriwa kwa bahati mbaya.
Kwanini clouds media ni wakabila sana. Almost wote ni wahaya na interview zao wanakuuuliza jina lako ili wajue we ni mhaya au la! Wapo wachache sana ambao siyo wahaya lakini wameajiriwa kwa bahati mbaya.
Kuna watu hampendi amani, mna chokochoko mradi tuu kuzua chuki na taharuki
Kuwaajiri wahaya sidhani kama ni kitu kilichopangwa au ni issue ya ukabila, ni kitu ambacho kinategewa kutokea kutokana na mazingira ya umiliki na mahusiano
Hao wachache wasio wahaya unaosema waliajiriwa bahati mbaya hebu tuambie mpango ulikua vipi na hiyo bahati mbaya ikatokeaje🙄🙄😏
Kwanini clouds media ni wakabila sana. Almost wote ni wahaya na interview zao wanakuuuliza jina lako ili wajue we ni mhaya au la! Wapo wachache sana ambao siyo wahaya lakini wameajiriwa kwa bahati mbaya.