Cisco- CCNA, MCSA & Linux Training

ComSkills

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2015
Posts
479
Reaction score
111
Dar Es Salaam
Darasa la CISCO-CCNA litaanza tr 01/03/2021, uandikishaji umekwisha anza.
Karibuni sana:
Muda: 1700-2100HRS - 4 hrs/ day
Tr: 01/03/2021 - 16/04/2021 -WIKI -7

Ada: Tshs. 700,000/= [Mafunzo pekee & Mitihani ya mazoezi]



.......

Kwa Mwaka 2020, Mafunzo haya ya MCSA, LINUX, MCSA, EXCEL FOR PROFESSIONAL yataendeshwa mikoani pia kwa kutegemea namba ya wahitaji katika mkoa husika.

1.Arusha
2.Mwanza
3.Dodoma
4.Mbeya


Kwa maelezo zaidi,
Tupigie: 0717 718519 | 0762 192 532 | 022 270 1320
Tuandikie: training@comskills.co.tz


karibuni sana
 
Mkuu ujasema darasa litakua wapi bei gani na kwa muda gani na vigezo pia! !
Asante sana ndugu "Rommy Shabby" kwa CCNA
MADARASA YATAANZA;
Tarehe: 07/10/2019 - 08/11/2019 (Wiki tano)
Muda:
1700 - 2000HRS (3 hrs/day)
Place: Makumbusho Business Complex, 2nd Floor
Fees: 700,000/= [Reviews Training pekee]
Add: Current lab Questions, [ 85 % ya mafunzo ni practical, 15% Theory]

Karibu sana;
Tupigie: 0717 718 519 | 022 270 1320
Tuandikie: training@comskills.co.tz
 
Wataalum wenye uzoefu wa miaka mingi katika ufundishaji na ufayaji kazi za Network [ Designing, Development & Installation] watakuwepo kukusaidia wakati wote wa mafunzo.

Tutakuwa nawe pia kuhakikisha unapata taaluma ya hali ya juu!

Wanafunzi wetu, wanafanya vyema kwenye soko la ajira.
Karibuni nyote:
Tupigie: 07177185 19 | 022 270 1320
Tuandikie: training@comskills.co.tz
 
tunavaa sare gani?
Hahahaha, ndugu "AvilSpirit", asante sana kwa kuja!
Elimu hii haina sare! Sare ni fee yako tuu!

Tupigie: 0717 718519 | 022 270 1320
Tuandikie: training@comskills.co.tz
Tutembelee: Makumbusho Complex,. 2nd floor.
Muda: Saa Tupo wazi kuanzia, saa 12 asubuh mpaka saa4 usiku,
 
Darasa la CCNA-Switching & Routing limeanza toka jumatatu, tr.7/10/2019

Nafasi bado ipo upande wako, waweza kujiunga sasa pia.

Tupigie: 0717 7185 19 | 0762 192 532 | 022 270 1320
Tuandikie: training@comskills.co.tz
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…