Hyo bei mbna kubwa saanaaHabari zenu wanajamvi
Kwa wale wanaopenda kupanga mwenge karibu kabisa na bamaga na Afrikasana
Chumba chenye choo ndani (master room) sebule na jiko, ipo ndani ya geti parking ya gari ipo maji ya uhakika 24/7
Tuwasiliane 0658183618
Tena ukishalipa hiyo haulipi maji safi wala maji taka..... Mpaka mkataba utakapoishaHahaha eti bei kubwa kisa IPO karibia na bamagaaa Ingesogea kidogo pale TBc ingekuwa laki tano na ingekaribia ITV million so shukuru ipo bamaga ndo maana bei ndogo 230 tu