Mkuu hizo mbili zimeshatoka , ila kuna mija nayo ni ya 450 mwisho ni 400, inategemea utakavyoongea na mwenye nyumba, na hii ina vyumba vitatu vya kulala na jiko na sebule na maji yapo ya kutosha na ina uzio, ila haina masters ,ila ni safi kila kitu kipo na ina marumaru mpaka nnje kwenye veranda, nyumba ipo mwenge kijijini opposite magorofa ya jeshi near TRA