Chronic headache

Hizi process kubabek

Kwanza unafika kituoni foleni watu wamefika tangu saa 12 asubuhi wewe wa saa 2 asubuhi unajikuta mtu wa 50 huko kichwa kinabangua hapo kumbuka utatakiwa usubiri foleni mpaka watu 49 waishe maana kila mtu kapewa kinamba chake kwenye kikaratasi hapo hujala hujanywa maji mpaka unaonana na daktari saa 12 na nusu jioni muda wa serikali kufanya kazi ushaisha na daktari kufanya kazi mwisho saa 10 jioni tuonane kesho kichwa kinaendelea kuuma vile vile dawa hujapata vipimo hujapata matibabu hujapata, foleni foleni foleni
 
Mimi: Until_The_End
Umri: 26
Jinsia: Me

Naumwa kichwa kwa zaidi ya miaka 10 sasa. Kwa kipindi hiki kimeuma mfululizo mwaka mzima, kila siku inabidi nitumie pain killer.
Miaka ya nyuma kilikuwa kinauma siku 3 hadi tano kisha kinapotea.

Kichwa kinauma Juu ya chunusi za macho, kikiuma kinaambatana na kamasi ambalo linaanza kusumbua pua.

Baadhi ya nyakati kuna maumivu kama kuchoma yanatokea kichwani yanakuwa connected mpaka kwenye tundu za pua.

Kikianza kuuma huwa inabidi nikae chumba chenye giza au kufunika sehemu ya macho na kuwa mbali na kelele.

Nilienda pharmacy nikapewa dawa inaitwa sumatriptan lakini haikusaidia.

Kila siku natumia Diclopa ili kutuliza maumivu.
Naomba ushauri au recommendation ya dawa
 
Hujawahi kumdhulumu mtu? Hata kukimbia na Deni na kugoma kulipa?
 
Basi IMETOSHA.
Unatatizo la MIGRAINE !!.

Kwa Sasa unatakiwa utumie hizo Dawa hapo juu nilikuambia

Utazimeza kwanza Kwa siku Tano, Kisha utaona majibu uendelee nazo Kwa mwezi ,Kisha uwe unanipa Mrejesho


Hakitokuuma Tena !!
 
Basi IMETOSHA.

Unatatizo la MIGRAINE !!.

Kwa Sasa unatakiwa utumie hizo Dawa hapo juu nilikuambia

Utazimeza kwanza Kwa siku Tano, Kisha utaona majibu uendelee nazo Kwa mwezi ,Kisha uwe unanipa Mrejesho


Hakitokuuma Tena !!
Na km bado kikiendelea utampangia anywe dawa gani nyingine daktari?
 
Tab. Propranolol 40mg OD PO for 5days( Moja mara Moja Kwa siku Tano).


Tab Prednisolone 10mg BD PO for 7 days.
 
Basi IMETOSHA.

Unatatizo la MIGRAINE !!.

Kwa Sasa unatakiwa utumie hizo Dawa hapo juu nilikuambia

Utazimeza kwanza Kwa siku Tano, Kisha utaona majibu uendelee nazo Kwa mwezi ,Kisha uwe unanipa Mrejesho


Hakitokuuma Tena !!
Asante mkuu.
 
Pole sana mkuu nikiwa kama mdau wa afya mwandamizii senior

Kuhusianana na maumivu ya kichwa yasiyoisha/ kukoma inaweza sababishwa na yafuatayo...
Ikiwa mtu anapata maumivu ya kichwa yasiyoisha (non-stop headache), chanzo kinaweza kuwa:

1. Shinikizo la damu (hypertension) – mara nyingi huambatana na uzito kupita kiasi.

2. Msongo wa mawazo (stress) au usingizi hafifu.

3. Migraine – maumivu ya kichwa ya mara kwa mara na makali.

4. Kunywa maji kidogo (dehydration).

5. Tatizo la macho (haja ya miwani).

6. Matumizi ya dawa au kafeini kupita kiasi.

7. Tumbo tupu kwa muda mrefu (hypoglycemia).

8. Mabadiliko ya homoni au matatizo ya mfumo wa fahamu.
 

Haya ni.maelezo ya jinsi ya kutafuta suluhu ya maumivu husika, kwa mtu ambae maumivu ni makali kwa wakati husika:

1: Kuna vitengo vya dharula kama hauko vyema.

2: Pia, Nurse anaempokea mgonjwa kwenye maeneo ya OPD/wagonjw wa nje hutoa taarifa kwa daktari kulingana na hali ya mgonjwa ili kupewa huduma ya kwanza/mapema.

2: Mazungumzo haya ni chini ya dakika 15-20 kwa daktari mwenye uelewa na experience ya kutosha.
 
Fuata ushauri huu,kama umeshafanya vipimo sema ili upewe ushauri zaidi .
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…