Hayo ni matokeo ya kushabikia mpira wa Premier League tu bila ya kuwa unachungulia na ligi nyengine. Mkuu uwanjani kila mtu anapangiwa na kazi yake. Kwa mfumo wa kocha aliekupo timu inahitaji iwe na deep lying player maker. Sasa huyo kante hata akicheza hapo chini mnapotaka hatoweza kupatendea haki. Atashindwa kuposes mpira inavotakilikana. na ndio mana anachezeshwa Box to Box. na sio attacking kama munavosema. Tatizo lilokuepo ni kua Kante anashindwa kuicheza vizuri hiyo position mpya aliyopangwa na hilo ndio moja ya tatizo kuu la timu. Sasa hilo sio kosa La Sarri wala Jorginho. Tatizo lipo kwa Kante kashindwa kuadopt position mpya na timu iankosa mchezaji mwengine wa kucheza ile position.
Mnaanza kuuliza na assist kiukweli mumelewa na typical british mentality. Jorginho sio kazi yake kutoa assist, assist zinatakiwa zitolewe na Hazard, Pedro, Wilium. Deep lying Midfield kazi yake ku poses game na kucool tempo ya game. pamoja na kuwasplier mipira mawinga na mafull back ili wapate kufanya mashambulizi. sasa ikiwa hao mawinga wanacheza ovyo yeye kahusika na nini? Chelsea wanajitahidi sana kwenye position dominating na hiyo ndio kazi kuu ya Jorginho. Masuala ya mashambulizi ni kazi za wengine amabao kiulweli wanashindwa kuzifanya kazi zao vizuri.