Man U hata kipa hamna. Kipa gani mrefu halafu anafungwa magoli ya huko huko juu? Welbeck naye ni mzigo tu na bado kocha hamuoni kama ni mzigo. Kwa mechi ya leo wala simlaumu Moyes.
Man U hata kipa hamna. Kipa gani mrefu halafu anafungwa magoli ya huko huko juu? Welbeck naye ni mzigo tu na bado kocha hamuoni kama ni mzigo. Kwa mechi ya leo wala simlaumu Moyes.